
Malaika
Malaika, nakupenda Malaika.
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada.
Nashindwa na mali sina we,
ningekuoa Malaika.
Pesa zasumbua roho yangu.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio.
Nashindwa na mali sina we,
ningekuoa Malaika.
Kidege, hukuwaza kidege.
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada.
Nashindwa na sina, we.